Taarifa Ya JWTZ Kwa Vyombo Vya Habari

Related image
Wito kwa Vyombo vya Habari

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatarajia kutoa tamko rasmi la zoezi lijulikanalo kama ‘Ushirikiano Imara” 2017 litakalojumuisha nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Tamko hilo litatolewa tarehe 5 Desemba 2017 saa 3:00 asubuhi Makao Makuu ya Jeshi, Upanga jijini Dar es Salaam

Ukiwa mdau muhimu wa habari, chombo chako kinaalikwa kuhudhuria katika tukio hilo muhimu

Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
04 Desemba, 2017.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment