@nkupamah blog
Rais Dr. John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa Dr. Edward Hosea kuanzia leo kwasababu yakutoridhishwa na
utendaji wa taasisi hiyo.
Katika hatua nyingine Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue, amesema, Rais John Pombe Magufuli ameagiza kusimamishwa kaz mara moja kwa watumishi wanne Wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambao walisafiri nje ya nchi licha Rais Magufuli kupiga marufuku safari za nje ya nchi licha Rais Magufuli kupiga marufuku safari za nje kwa Watumishi wa Umma..
Rais Dr. John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa Dr. Edward Hosea kuanzia leo kwasababu yakutoridhishwa na
utendaji wa taasisi hiyo.
Katika hatua nyingine Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue, amesema, Rais John Pombe Magufuli ameagiza kusimamishwa kaz mara moja kwa watumishi wanne Wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambao walisafiri nje ya nchi licha Rais Magufuli kupiga marufuku safari za nje ya nchi licha Rais Magufuli kupiga marufuku safari za nje kwa Watumishi wa Umma..
Watumishi hao ni Mary Mosha , Ekwabi Mujungu, Doreen Kapwani na Rukia
Nakitasi ambao walisafiri nje ya nchi licha ya kunyimwa kibali cha
safari kutoka kwa Rais ama Katibu mkuu..
Balozi Sefue amewataka watumishi wengine wa Umma kutii agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dr John Pombe Magufuli na kuonya kuwa atakae kiuka atachukuliwa hatua Kali....
Balozi Sefue amewataka watumishi wengine wa Umma kutii agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dr John Pombe Magufuli na kuonya kuwa atakae kiuka atachukuliwa hatua Kali....






0 comments :
Post a Comment