BREAKING NEWZZ;PLATIN NA BLATTER WAFUNGWA JELA YA SOKA KWA MIAKA 8 ,KISA HIKI HAPA

Nkupamah media

NYONI,Uswiz

Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) limewafungia Michel Platini na Sepp Blatter kujihusisha na shughuli zozote za soka kwa kipindi cha miaka 8.2CC2B0E100000578-3368574-image-a-47_1450687371912Sepp Blatter  ambaye alikuwa Rais wa Shirikisho hilo kabla ya kujiudhulu wadhiwa huo mwezi wa sita
mwaka huu na Michel Platini akiwa Makamu wake. Wamehukumiwa kutokana na kukutwa na hatia ya kukiuka maadili ya shirikisho hilo kwa kuhusika na kupokea rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ,ambapo Kubwa zaidi ni malipo yaliyojaa utata (dola milioni 2 za Kimarekani) aliyopokea Platini mwaka 2011 yaliyoidhinishwa na Blatter
Hata hivyo FIFA kupitia kamati yake ya maadili inayoongozwa na jaji Hans-Joachim Eckert  imewalima faini viongozi hao ambapo Blatter amelimwa faini ya dola 33,700 wakati Platin amepigwa faini ya dola 53,940 kama sehemu ya adhabu hiyo2F8BA32A00000578-3368574-image-a-73_1450691937989Hii ina maana kuwa ndoto za Rais wa UEFA ambaye pia ni makamu wa Rais wa FIFA.Michael Platin za kuwania nafasi ya Urais katika uchaguzi wa shirikisho hilo uliopangwa kufanyika mwakani mwezi wa pili imeota mbawa kutokana na kutakiwa kutojihusisha na soka katika kipindi chote cha miaka 8 kuanzia leo.2F7AFC4800000578-3368242-image-a-9_1450654916824Aidha hali kama hiyo pia inamkuta Blatter ambaye alikuwa na tumaini la kuachiwa huru katika kifungo cha awali cha siku 90 ili ashiriki katika utoaji wa tuzo za mwanasoka bora wa dunia za Ballon D’or.2F8B745F00000578-3368574-image-m-68_1450690350861Hata hivyo taarifa zinasema kuwa viongozi hao wamepewa nafasi ya kukata rufaa kama wanaona hawajatendewa haki na kamti hiyo huru ya maadili.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment