@nkupamah blog
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwasili kituo
cha tiba za asili na mbadala cha Kliniki ya Foreplan Herbal cha Dkt.
Juma Mwaka leo jioni alipofanya ziara ya
kushtukiza katika kituo hicho
kilichopo eneo la Ilala Bungoni jijini Dar es salaam kujionea namna
kituo hicho kinavyotoa huduma za kiafya.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dkt. Hamisi Kigwangalla akiongea na
Husna Maokola Majogo (aliyekaa) mara baada ya kuwasili kituo cha tiba za
asili na mbadala cha Kliniki ya Foreplan Herbal cha Dkt. Juma Mwaka leo
jioni alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho kilichopo eneo
la Ilala Bungoni jijini Dar es salaam kujionea namna kituo hicho
kinavyotoa huduma za kiafya.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia
baadhi ya vifaa vinavyotumika kutibia wagonjwa katika kituo cha tiba za
asili na mbadala cha Kliniki ya Foreplan Herbal cha Dkt. Juma Mwaka leo
jioni alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho kilichopo eneo
la Ilala Bungoni jijini Dar es salaam kujionea namna kituo hicho
kinavyotoa huduma za kiafya. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Serikalini,wizara hiyo Nsachris Mwamwaja.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia
baadhi dawa zinavyotumika kutibia wagonjwa katika kituo cha tiba za
asili na mbadala cha Kliniki ya Foreplan Herbal cha Dkt. Juma Mwaka leo
jioni alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho kilichopo eneo
la Ilala Bungoni jijini Dar es salaam kujionea namna kituo hicho
kinavyotoa huduma za kiafya.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dkt. Hamisi Kigwangalla akipita
kuangalia maeneo ya kutolea huduma katika kituo cha tiba za asili na
mbadala cha Kliniki ya Foreplan Herbal cha Dkt. Juma Mwaka leo jioni
alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho kilichopo eneo la
Ilala Bungoni jijini Dar es salaam kujionea namna kituo hicho kinavyotoa
huduma za kiafya
0 comments :
Post a Comment