DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA Mbunge wa zamani wa jimbo
la Kahama kupitia CCM,kabla ya kulikosa jimbo hilo mara
baada ya kuhamia
CHADEMA,James Lembeli amesema kuwa anashindwa kuelewa ni kwa nini Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni anashindwa kufanya kazi zake ipasavyo.Lembeli ambaye alijiunga CHADEMA kwa mbwembwe nyingi pamoja na aliyekuwa mbunge wa viti maalumu mkoa wa Kagera,Ester Bulaya ,amesema kuwa mambo anayoyafanya Mkuu wa wilaya huyo machachari ni sawa na kutekeleza maagizo ya wakubwa wake


0 comments :
Post a Comment