KINACHOENDELEA KUHUSU DKT MWAKA

@nkupamah blog


Rafiki wa karibu wa tabibu J.J,Mwaka, maarufu kama Lemutuz ambaye  pia ni mtoto wa
aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh John Malecela ameeleza juu ya kinachoendelea kumuhusu rafiki yake huyo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Lemutuz ameeleza kuwa anaimani kuwa anachokifanya Dkt Mwaka kimefuata sheria na taratibu za utabibu hivyo anasubiri taarifa kutoka wizarani ili kujua watatoa maamuzi gani.ccm 2
Ameeleza kuwa Dkt Mwaka amekwisha ripoti wizarani akiwa ameambatana na vieelelezo vyote ambavyo serikali waliagiza aendenavyo, hivyo anaimani na kitakacho amuuliwa na wizara juu ya Dkt Mwaka.DSC_0069Lemutuz ameeongeza ikitokea ikabainika Dkt Mwaka kuhusika na vitu ambavyo anatuhumiwa navyo, ni vyema sheria ikafanya mkondo wake.IMG_20150510_185527
Pia amewataka watu mbalimbali wanaotumia mitandao ya kijaamii kutokushabikia vitu ambavyo havina ushahidi na kuwataka viongozi kujiridhisha kwanza kabla hawajaanza kutumbua majipu
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment