Mkuu
wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Wizara ya Maendeleo ya
Mifugo na uvuvi Bi Judith Mhina akifafanua kwa waandishi wa habari
kuhusu mradi wa udhibiti wa uvuvi na
maendeleo shirikishi Kusini
Magharibi mwa bahari ya Hindi “SWIOFISH” leo jijini Dar es salaam wakati
wa mkutano na waandishi wa habari. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Wizara
ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bi Fatma Sobo.
Afisa
Uvuvi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bw. Silas William
akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu hatua zinazochukuliwa na
Serikali katika kuwainua wavuvi wadogo hapa nchini ili kushiriki katika
kukuza uchumi wa Taifa. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya
Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bi Fatma Sobo.mwisho kushoto ni Mkuu wa
kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo
na uvuvi Bi Judith Mhina.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mkutano kati yao na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambao pamoja na mambo mengine ulibainisha kuwa Serikali imejipanga kukomesha uvuvi haramu hapa nchini hasa kwa kutumia mabomu kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais,Wizara ya Mali asili na Utalii, Wizara ya Nishati na Madini,Wizara ya mambo ya Ndani na ile ya Katiba na Sheria.


0 comments :
Post a Comment