BARCELONA YATWAA TAJI LA DUNIA ,SUAREZ AKITWAA KIATU CHA MFUNGAJI BORA(PICHAZZ


@nkupamah blog


TOKYO,Japan

MACHAMPION wa ligi ya Mabingwa Ulaya,Fc Barcelona wamefanikiwa kutwaa taji la klabu bingwa ya dunia ,mara baada ya kuwafunga mabingwa wa bara la Amerika kusini River Plate kwa jumla ya goli 3-02747069_full-lndKatika mchezo huo uliomalizika hivi punde,magoli ya Fc Barcelona yalipatikanika kuanzia katika kipindi cha kwanza katika dakika ya 36 ambapo Lionel Messi alimalizia pasi aliyochongewa na Neymar na kuiandikia Barcelona goli la kwanza.
luis-suarezMchezo huo ambao ulihusisha ufundi mwingi kwa kila timu,ulishuhudia kipindi cha kwanza kikimalizika kwa Fc Barcelona kuwa mbele kwa jumla la goli 2,ambapo goli la pili la Barcelona lilifungwa na Luis Suarez katika dakika ya 49 ya mchezo huo akimalizia pasi kutoka kwa Neymar.river-barca_3531440bKipindi cha pili kilinza huku kila timu ikijitahidi kujizatiti katika kusaka magoli,lakini walikuwa ni Barcelona kupitia kwa Luis Suarez aliyeandika goli la tano kwa upande wake katika mashindano hayo na goli la tatu kwa timu yake katika dakika ya 68 ya mchezo akimaliza pasi murua ya Neymar.hi-res-eb537e086be61fe5ab4f872638c2421d_crop_north 2747107_big-lndKwa matokeo hayo Barcelona wanajihakikishia kombe la tano kwa mwaka huu,ambapo mapema mwezi wa nne walitwaa taji la ligi kuu Hispania,kisha wakatwaa kombe la mfalme,likafuatiwa na taji la ligi ya mabingwa ulaya na taji la super cup la michuano ya klabu bingwa Ulaya
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment