Lowassa Awapongeza Walioshinda Umeya Manispaa Za Ilala Na Kinondoni Leo

Aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa (katikati) akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake Mwenge jijini Dar es salaam leo, wakati wa alipowapongeza Wastahiki Meya wa Manispaa za Ilala na Kinondoni. Kulia ni Meya wa Manispaa ya Kinondini, Boniface Jacob na Kushoto ni Meya wa Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko.
 
Meya wa Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko (kushoto) akizungumza akizungumza na waandishi wa habari, wakati wa Mkutano uliofanyika Ofisini kwa aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, walipokwenda kuzungumza nae mara baada ya kushinda nafasi hizo. Kulia ni Meya wa Manispaa ya Kinondini, Boniface Jacob.
 
Aliekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwa kwenye picha ya pamoja na Wastahiki Meya wa Manispaa za Ilala na Kinondoni pamoja na Manaibu wao, mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment