Taarifa ya Uteuzi wa MKurugenzi MKuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)

Nkupamah media:


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amemteua Hamza Said Johari kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchini (TCAA).
 
Taarifa ya uteuzi huo imetolewa na Katibu Mkuu (Uchukuzi), Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dk. Leornald Chamurinho ambapo imeeleza kuwa uteuzi huo unaanza Februari 22 mwaka huu.
 
Kabla ya uteuzi huo, Johari alikuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Walaji wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA – Consumer Consultative Council).
 
Mkurugenzi Mkuu huyo mteule amejaza nafasi iliyokuwa ikikaimiwa na Redemptus Bugomola.
Share on Google Plus

About Mng'atuzi blog

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment