Unataka Kujua Shilole Kasema Nini Kuhusu Kuachana Na Nuhu Mziwanda.........Nimekupakulia Hapa Katika Habari Hii Isikupite Imekolea Sana.

Nkupamah Media:

Nuhu Mziwanda na Shilole



Shilole Asema Kuachana na Nuh Mziwanda Hakumzuii Kuendelea na ‘Project’ ya Nyang’anyang’a


Ngoma ya ‘Nyang’anyang’a’,Shilole alimuimbia aliyekuwa mpenzi wa Nuh Mziwanda kabla hawajaachana,anazungumzia kama hali hiyo inamzuia kuendelea na project yake ya wimbo huo.

‘’Hapana hainipi ugumu wowote kwasababu wimbo nimeimba bila kumtaja mtu jina ila nimesema nilimuimbia aliyekuwa mpenzi wangu Nuh Mziwanda,hakuna ambacho nishindwe kuendelea ku’promote’ wimbo wangu na hainipi ugumu wowote kabisa,’’Shilole.

Cloudsfm.com
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment