Nkupamah media:
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan aliangalia vijana wa kikundi cha sanaa cha Tanga kwanza
alipowasili Ofisi ya CCM Mkoa wa Tanga kwa ajili ya kuzungumza na
Wanachama wa Chama hicho leo March 01, 2016. Makamu wa Rais amekamilisha
ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga.
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi
Mkoa wa Tanga wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan alipokua akizungumza nao katika Ofisi ya CCM Mkoa Tanga. Makamu
wa Rais amekamilisha ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga leo
March 01.2016.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiagana na vijana wa kikundi cha wasanii cha Tanga kwanza
alipokua akiondoka katika Ofisi ya Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa Tanga
baada ya kuzungumza na Wanachama wa Chama hicho leo March 01, 2016.
(Picha na OMR)
Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa
CCM Mkoa Tanga Mwanakombo Mwakuru akimvisha Skafu Mjumbe wa Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan alipowasili Ofisi ya CCM Mkoa wa Tanga kwa
ajili ya kuzungumza na Wanachama wa Chama hicho leo March 01, 2016.
Makamu wa Rais amekamilisha ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga.
Kulia Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Mhe.Henri Shikifu.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan akizungumza na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani
Tanga katika Ofisi ya CCM Nkoa Tanga. Makamu wa Rais amekamilisha ziara
ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga leo March 01,2016.
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi
Mkoa wa Tanga wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan alipokua akizungumza nao katika Ofisi ya CCM Mkoa Tanga. Makamu
wa Rais amekamilisha ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga leo
March 01.2016.
0 comments :
Post a Comment