MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA), HAMZA JOHARI.AANZA KAZI RASMI.

JOH1
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari   (katikati) akimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa Mamlaka hiyo , Vallery Chamulungu  wakati alipokuwa akimkaribisha rasmi ofsini hapo.
JOH2
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA).Hamza Johari  (watatu kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa Mamlaka hiyo , Vallery Chamulungu (watatu kutoka kulia) wakati alipokuwa akimkaribisha rasmi ofisini Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam. Wengini ni maofsa wa mamlaka hiyo.
JOH3
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)  Hamza Johari (KUSHOTO)akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uongozaji ndege na Huduma za ufundi  , Bw. Nyello Abeid ,wakati wa kumkalibisha  rasmi  kuanza kazi TCAA.
JOH4
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari akiwa katika kikao na menejimenti ya Mamlaka hiyo mara baada ya kukaribishwa rasmi kuanza kazi   Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam.
JOH6
.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Hamza Johari akiwa rasmi  ofini kwake kuanza majukumu yake kama Mkurugenzi Mkuu TCAA  ,baada ya kukaribishwa rasmi TCAA.
JOH8
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari akipokea  Shada la maua kutoka kwa  mmoja wa wafanyaakzi wa Mamlaka hiyo ,Evelyne Ngachengo ,wakati alipokuwaakikaribishwa na wafanyakazi wenzake rasmi kuanza kazi ,rasmi ofisini Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment