Marekani Kusimamia Miradi ya Kijamii Pemba.


Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Pemba,Mhe Hemed Suleiman Abdalla , akikata Utepe kuashiria kufunguwa jengo la madarasa sita huko katika Kijiji cha Matale , lilijengwa na Serikali ya Marekani kupitia Jeshi lake.
Msimamizi wa Miradi wa huduma za Kijamii inayosimamiwa na Jeshi la Marekani, LT. Ruben Lopez, akitowa maelezo juu ya ujenzi wa mradi wa skuli hiyo iliogharimu Dola za Kimarekani 226,000/=.
Msimamizi wa Miradi ya Huduma za Kijamii, inayosimamiwa na Jeshi la Marekani Kisiwani Pemba LT, Ruben Lopez, akikaguwa Ujenzi wa Mradi huo wa jenzi wa ukuta wa kuzuwia mmomonyoko wa ardhi katika Skuli ya Matale Pemba.(Picha na Bakar Mussa-Pemba.)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment