Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akizindua miradi ya upatikanaji wa picha za anga na mfumo unganishi wa menegiment ya taarifa za umma (ILMIS) jijini Dar es Salaam jana. Kutoka (kushoto) ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene, Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Yamungu Kayandabila.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akiongea wakati wa uzindua wa miradi ya upatikanaji wa picha za anga na mfumo unganishi wa menegiment ya taarifa za umma (ILMIS) jijini Dar es Salaam jana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akizindua miradi ya upatikanaji wa picha za anga na mfumo unganishi wa menegiment ya taarifa za umma (ILMIS) jijini Dar es Salaam jana. Kutoka (kushoto) ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene, Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Yamungu Kayandabila.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Yamungu Kayandabila (kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi huo. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Faustine Kamuzora.
Baadhi ya waheshimiwa wabunge na wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo wakifuatilia uznduzi wa huo.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo wakifuatilia uznduzi wa huo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akifafanua jambo wakati wa uzindua wa miradi ya upatikanaji wa picha za anga na mfumo unganishi wa menegiment ya taarifa za umma (ILMIS) jijini Dar es Salaam jana.
Baadhi ya waheshimiwa wabunge na wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo wakifuatilia uznduzi wa huo.
Baadhi ya waheshimiwa wabunge na wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo wakifuatilia uznduzi wa huo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene akisalimiana na Mbunge wa Mpanda Mjini, Sebastian Kapufi na baadhi ya wabunge walihudhuria hafla hiyo.
0 comments :
Post a Comment