
April 8, 2017 Waziri kivuli wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Joseph Mbilinyi maarufu Sugu ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya mjini amekutana na Waandishi wa habari Dodoma na kuzungumzia baadhi ya matukio yanayoendelea hivi sasa nchini ikiwemo tukio la tuhuma za kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki na mengine yaliyowatokea Nape Nnauye na Nay wa Mitego.
Full video nimekuwekea hapa chini tayari…
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.


0 comments :
Post a Comment