
May 9, 2017 Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi iliwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi yake kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kiasi cha Shilingi Bilion 930.3 kisha wabunge wakapata nafasi ya kutoa mapendekezo yao ambapo kati ya waliopata nafasi hiyo ni pamoja na Kangi Lugola Mwibara pamoja na Peter Lijualikali Mbunge wa Kilombero.
VIDEO: Mwigulu Nchemba bungeni leo May 9 2017
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment