MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU WILAYANI MLELE- KATAVI

  • Written by   Nkupamahmedia
bai2
Kabula Kalamu wa eneo la Lalanayo wilayani Mlele akitoka bombani kuteka maji huku akiwa amembeba mgogongoni mwanae Masunga Mayunga Jula 17, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
bai3
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa amekalia oja ya madwati mapya ya plastiki yaliyowekwa kwenye moja ya madara ya shuley amsingi ya Kakuni wilayni Mlele akiwa katika mapumziko mafupi kijijini kwake Kibaoni Julai 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)(VICTOR)

bai4
Wanawake wa Kijiji cha Kibaoni wilayani Mlele wakielekea majumbani baada ya shughuli zao mbalimbali Julai 16, 2015.
bai5
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba za walimu katika shule ya msingi ya Kakuni wilayani Mlele Julai 16, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment