Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid
Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa
Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini
ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa
Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar
es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo
Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank
Geofray-Jeshi la Polisi)
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid
Nsekela( katikati) ,Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki na Mkuu wa
Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga
wakionyesha jezi walizokabidhiwa na benki ya NMB kwa ajili ya Timu za
Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi
kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira
wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro. (Picha na Frank
Geofray-Jeshi la Polisi)





0 comments :
Post a Comment