Wanafunzi wa Shule ya msingi 
Wailesi wilayani Temeke jijini Dar es salaam wakiwa katika picha ya 
pamoja wakati wa  uzinduzi  rasmi mpango wa Fit For School Mpango wa 
kuboresha Afya na 
Mazingira Mashuleni na kuhamasisha watoto mashuleni 
wanawe mikono mara kwa mara, Mpango huo unafadhiliwa na Shirika la GIZ 
Tanzania kutoka Ujerumani na ulizinduliwa na unatekelezwa na taaisis ya 
SAWA.
Mpango huo ukizinduliwa rasmi kwa kukata utepe.
Moja ya mabango yanayoonyesha malengo ya mpango huo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Wailesi wilayani Temeke wakinawa mikono yao mara baada ya uzinduzi.
Bango hili likionyesha hatua tano za unawaji mikono kwa wanafunzi shuleni hapo.
Wanafunzi wakimsikiliza Sekela mmoja wa waratibu wa mpango huo alipokuwa akizungumza nao shuleni hapo wakati wa uzinduzi.
Wanafunzi wakionyesha mikono yao mara baada ya kunawa.


0 comments :
Post a Comment