DAR ES SALAAM
MWANAHARAKATI mahiri wa siasa nchini
Haumphery Polepole ameibuka na kufunguka juu ya kitendo cha Marekani
kupitia shirika lake la Milleniam (MCC) kutangaza kuinyima Tanzania
msaada wa pesa ambao walipanga kuipa katika kutekeleza miradi ya
maendeleo kwa kile kilichosemekana kuwa ni kutokana na kutokuwa na
demokrasia na sheria ya mitandao.
Polepole amaendaika katika ukurasa wake
wa twitter na kusema kuwa kama nchi i
naweza kukusanya zaidi ya trilioni
1.3 kwa mwezi kwa nini tuendelee kungoja misaada kutoka nnje?amesema
kuwa hakuna haja ya kuwapigia magoti waliotunyima huo msaada ila kikubwa
ni kwa Serikali kuzidisha na kuongozea mkakati wake katika kukusanya
kodi kwa wingi hali itakayowafanya hao wanaojiita wafadhili kuipigia
simu Serikali ya Magufuli na kuilazimisha mikopo’

0 comments :
Post a Comment