NAIBU WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA Kambi Ya KIPiNDUPINDU

35
Naibu Waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto,Dkt.Hamis Kingwangwala(wa pili kulia) akikagua kambi ya kipindupindu iliyopo hospitali ya
kwamnyamani buguruni
36
Dkt.Kingwangwala akimsalimia mmoja wa mgonjwa wa kipindupindu aliyelazwa kwenye kambi hiyo
38
Dkt.Kingwangwala akikagua takataka zilizorundikwa katikati ya barabara ya ndani ya soko la matunda la buguruni
40 41
Katika kuhakikisha kama wafanyabiashara wana uelewa juu ya ugonjwa wa kipindupindu,Dkt.Kingwangwala akizungumza na muuza kahawa karibu na mfereji mchafu uliopo sokoni hapo.
42
Naibu waziri akikagua soko la matunda buguruni.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment