Waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI,
Utumishi na Utawala Bora George Simbachawene aagiza taka zote
zilizokusanywa siku ya uhuru tarehe 9 Disemba zizolewa kabla ya tarehe
20.

Kauli
hiyo aliitoa wakati alipokuwa akizungumza na wafanyakazi wa Wizara hiyo
wakati wa kikao cha kumkaribisha katika ofisi ya TAMISEMI mjini Dodoma.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment