Wadau wa
burudani katika Jiji la Mkoani Mbeya Jumapili ya Pasaka waliweza kupata
burudani ya kipekee kutoka kwa Msanii Emmanuel Simwinga maarufu “ Izzo
Bizness “ ambaye alikonga mioyo ya wadau hao kwa vibao vyake mbalimbali
wakati wa kupiga shoo hiyo ya muziki kwenye tamasha la Pasaka la Home
sweet home lililodhaminiwa Tigo.
|
![]() |
Izzo Bizness akishow love kwa mashabiki zake tamasha la pasaka la home Sweet Home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya
jumapili iliyopita. |
![]() |
Mamia ya mashabiki wakifurahia burudani toka kwa Izzo Bizness |
![]() |
Yani ilikuwa shangwe wakati Izzo Bizness akitumbuiza jukwaani kwenye tamasha la pasaka la home sweet home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya jumapili iliyopita. |
0 comments :
Post a Comment