Home
/
Uncategories
/
EXCLUSSIVE: PRODYUZA WA NAGHARIMIA, SUBIRA, CHEKECHA AMEAMBULIA MILIONI 5 MWAKA MZIMA
Katika mazungumzo na mtembezi.com
Prodyuza huyo ameweka wazi kuwa kwa mwaka huu licha ya kufanya kazi
nyingi na nzuri ameambulia shilingi milioni Tano ambazo kiuhalisia ni
sawa na bure ukilinganisha na kazi kubwa aliyofanya mwaka huu.
Aidha sababu kubwa amedai kuwa, kwa
mwaka huu alitazama (Focus) kujulikana na kulikuza jina lake zaidi
kuliko kutengeneza fedha lakini kwa mwakani amesema amejipanga kuweka
mikataba ya malipo na wasanii ambao wata taka kufanya kazi na studio
yake ya “Chaiderz Records”
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments :
Post a Comment