MELI YA ROYAL ILIYOKUWA IKITOKA UNGUJA KWENDA PEMBA YANUSURIKA KUUNGUA

bot1
Meli ya royal iliYOkuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba imepata hitilafu na  kuungua, kwa
Bahati nzuri Meli ya Serengeti ilikuwa inatokea Pemba kwenda Unguja imeikuta njiani hivyo shughuli za uzimaji moto na uokozi Wa abiria na Mali zimefanyika na watu kuonkolewa, meli hiyo imevutwa mpaka Bandari ya Mkoani Pemba 
ME2me4
Hii ni moja ya chumba cha injini kilichoungua kama kinavyoonekana dirishani.
me5
Abiria wakiokolewa na kupanda meli ya MV Serengeti.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment