Mwenyekiti
wa Chama cha Mpira Miguu Wanawake (TWFA) Bi. Amina Karuma (kushoto)
akifafanua jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (katikati) na
wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) leo
jijini Dar es Salaam. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa TWFA Bibi. Rose
Kisiwa.
Meneja
wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) Bibi. Furaha
Francis akielezea jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo
pichani) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake
(Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James
Wambura akizungumza na wachezaji wa Timu ya Taifa Wanawake (Twiga Stars)
alipokutana nao leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti
wa Chama cha Mpira Miguu Wanawake (TWFA) Bi. Amina Karuma na Makamu
Mwenyekiti wa TWFA Bibi. Rose Kisiwa.
Mchezaji
wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) Bi.Fatuma
Omary akielezea jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo
pichani) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake
(Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya wachezaji wa Twiga Stars wakifuatilia mkutano baina yao na Naibu
Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James
Wambura (hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Frank Shija,
WHUSM).


0 comments :
Post a Comment